Matokeo ya Form IV 2024/2025 (NECTA Form Four results 2024/2025)
NECTA Matokeo ya Kidato cha Nne 2024/2025 Mikoa YoteMatokeo ya kidato cha iv 2024 release date
Matokeo ya kidato cha iv 2024 pdf
Matokeo ya kidato cha iv 2024 dates
Matokeo ya kidato cha iv 2024 download
![]() |
| Matokeo ya kidato cha nne 2024 |
Table of Contents
Mwongozo wa kila kitu Matokeo ya Form IV 2024/2025 NECTA Form Four Results PDF, Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2024/25 NECTA, Form Four Results 2024, CSEE NECTA Results 2024/2025, necta 2023, necta.go.tz 2024 Matokeo Kidato Cha Nne na kila taarifa mpya kuhusu haya Matokeo.
Matokeo ya Kidato cha Nne ni matokeo ya mtihani wa taifa wa Kidato cha Nne nchini Tanzania, yanayotolewa na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA). Tarehe rasmi ya kutangazwa kwa matokeo hutangazwa mapema na NECTA.
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) lilianzishwa kwa Sheria ya Bunge Na. 21 ya mwaka 1973 kwa lengo la kusimamia mitihani yote ya kitaifa nchini Tanzania. Uanzishwaji wa NECTA ulifuatia uamuzi wa Tanzania Bara kujitoa katika Baraza la Mitihani la Afrika Mashariki (EAEC) mwaka 1971 ili kuendesha mitihani yake ya ndani.
Jinsi ya Kuangalia Matokeo ya Kidato Cha Nne 2024/2025 NECTA Mtandaoni
Wanafunzi wa Tanzania wanaweza kutumia njia zifuatazo:
Tembelea tovuti rasmi ya NECTA:
- Nenda kwenye www.necta.go.tz
au
https://www.necta.go.tz/results/view/csee.
- Chagua “Results” kwenye menyu kuu.
- Chagua aina ya mtihani (CSEE) na mwaka wa matokeo (kwa mfano, 2024).
- Tafuta jina la shule au namba ya mtihani ili kuona matokeo.
Kwa SMS:
- Piga 15200# na fuata maelekezo.
- Chagua “Elimu,” kisha “NECTA,” na hatimaye “Matokeo.”
- Weka namba yako ya mtihani na mwaka, kisha lipia Tsh 100 kwa SMS.
Matokeo ya Kidato cha Nne PDF 2024/2025
Matokeo haya ni muhimu kwa wanafunzi wanaotarajia kuendelea na masomo ya kidato cha tano au kuchukua kozi za diploma. Wanafunzi wanaweza pia kupata matokeo yao kwa kupakua PDF kutoka kwenye tovuti ya NECTA.
![]() |
| Matokeo ya Form IV 2024 |
Lengo la Mitihani ya Kitaifa Tanzania
- Kuandaa sera za mitihani zinazoendana na sera ya elimu na mafunzo.
- Kusimamia uwajibikaji katika mchakato wa mitihani.
- Kutoa vyeti, diploma, na zawadi nyingine kwa wahitimu.
- Kutoa huduma za mitihani ya kimataifa nchini Tanzania.
Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara Kuhusu NECTA
NECTA ni nini?
NECTA ni Baraza la Mitihani la Taifa la Tanzania linalosimamia mitihani ya kitaifa.
Masomo gani hutolewa na NECTA?
Masomo yanajumuisha Kiingereza, Hisabati, Fizikia, Biolojia, Kemia, Historia, Jiografia, na mengineyo.
Ninapataje matokeo yangu ya NECTA ?
Tembelea tovuti ya NECTA na tafuta matokeo kwa kiwango cha mtihani, mwaka, na jina la mwanafunzi.
Mitihani ya Kidato cha nne 2024/2025 imefanyika november
Kwa kawaida, mitihani ya NECTA hufanyika Oktoba na Novemba kila mwaka.
Maeneo Yenye Matokeo ya Kidato Cha Nne 2024/2025
Mikoa yote ya Tanzania inahusika, ikiwemo: Arusha, Dar es Salaam, Dodoma, Mbeya, Mwanza, Tanga, na mikoa mingine.
| ARUSHA | DAR ES SALAAM | DODOMA |
| GEITA | IRINGA | KAGERA |
| KATAVI | KIGOMA | KILIMANJARO |
| LINDI | MANYARA | MARA |
| MBEYA | MOROGORO | MTWARA |
| MWANZA | NJOMBE | PWANI |
| RUKWA | RUVUMA | SHINYANGA |
| SIMIYU | SINGIDA | SONGWE |
| TABORA | TANGA |
Kupata matokeo Kidato Cha Nne 2024/2025 mtandaoni ni rahisi na haraka. Tembelea tovuti ya NECTA na ufuate maelekezo yaliyoainishwa hapo juu.
Ndugu waanafunzi ambao mmehitimu kidato cha nne 2024 anda kesho yako na njia pekee ya kuandaa kesho yako ni kuwekeza muda wako kwenye elimu. elimu sio lazima kwenda kidato cha tano la hasha kama combination zimegoma usijilaumu bali waza alternative two nenda chuo chochote cha ufundi hata kama ni ufundi wa kutengeneza pikipiki, ufundi wa magari, sofa ufundi umeme ili upate ujuzi wako na uwe na kazi yako inayokuingizia kipato. Usikate tamaa kama GPA haikuwa nzuri kama ulivyotarajia sema asante Mungu kwa hiki nilichopata na sasa waza kufanya kitu kingine lakini ukitaka kujaribu tena bahati yako unarudia mtihani.
Wazazi na walezi waungeni mokono watoto wenu vijana wenu kwa wazo wanalowaombeni support tusiwe watu wa kumpangia mtoto kuwa daktari wakati mtoto hana wito huo wa udaktari Tutampata daktari mtafuta pesa na sio daktari anaetibu toka moyoni mwake.
Share post hii na marafiki bonyeza hapo iwafikie wote wanaotafuta matokeo ya kidato cha nne 2024/2025 Siku yakitangazwa utajulishwa kwa group la whatsapp jiunge hapa https://chat.whatsapp.com/GVCApeH4MoCL1zdjRNAWJq
Ili utumiwe link ya Matokeo ya Form IV 2024/2025 yatakapotangazwa na serikali

